
JamiiForums
Official JamiiForums Telegram Channel | Be Informed, Engaged & Entertained
Recent Posts
DAR: Mdau wa JamiiForums.com anasema Eneo la Posta Barabara inayotokea kwenye Kanisa la KKKT kuelekea Karimjee kuna chemba zimepasuka zinatiririsha Majitaka, hali ni mbaya hasa kwa watembea kwa Miguu
Ameomba Mamlaka zitafute suluhu ya changamoto hiyo, kwasababu njia nzima imejaa Maji machafu hali ambayo inaleta kero na hofu ya Watu kupata Magonjwa, anatoa wito hatua zichukuliwe na Mamlaka husika
Soma https://jamii.app/MajitakaPosta
#JamiiForums#Uwajibikaji#Accountability
Ameomba Mamlaka zitafute suluhu ya changamoto hiyo, kwasababu njia nzima imejaa Maji machafu hali ambayo inaleta kero na hofu ya Watu kupata Magonjwa, anatoa wito hatua zichukuliwe na Mamlaka husika
Soma https://jamii.app/MajitakaPosta
#JamiiForums#Uwajibikaji#Accountability
MBEYA: Chama cha Kutetea Haki na Maslahi ya Walimu Tanzania (CHAKAMWATA) kimesema kitakwenda Mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali Nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za Walimu zaidi ya Tsh. Bilioni 12
Akizungumza na Waandishi wa habari, leo Aprili 08, 2025, Katibu Mkuu wa #CHAKAMWATA, Mwalimu Meshack Kapange amesema Halmashauri zinadaiwa na Walimu lakini hadi sasa hakuna malipo yoyote yaliyotolewa
Amesisitiza "CHAKAMWATA tumefuatilia kwa kina ili TAMISEMI itoe maelekezo kwa Mamlaka zake za chini lakini hakuna chochote kilichofanyika. Walimu wananyanyaswa kwa kuingiziwa makato ya Chama cha Walimu bila ridhaa yao, Walimu hatuko huru."
Soma https://jamii.app/CHAKAMWATAMadaiWalimu
#JamiiForums#Accountability#Uwajibikaji
Akizungumza na Waandishi wa habari, leo Aprili 08, 2025, Katibu Mkuu wa #CHAKAMWATA, Mwalimu Meshack Kapange amesema Halmashauri zinadaiwa na Walimu lakini hadi sasa hakuna malipo yoyote yaliyotolewa
Amesisitiza "CHAKAMWATA tumefuatilia kwa kina ili TAMISEMI itoe maelekezo kwa Mamlaka zake za chini lakini hakuna chochote kilichofanyika. Walimu wananyanyaswa kwa kuingiziwa makato ya Chama cha Walimu bila ridhaa yao, Walimu hatuko huru."
Soma https://jamii.app/CHAKAMWATAMadaiWalimu
#JamiiForums#Accountability#Uwajibikaji
MTWARA: Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ametoa kauli hiyo akijibu swali kuhusu mbinu ambayo chama hicho kitatumia ili kuendana na ajenda ya 'No Reforms, No Election'
Lissu ameyasema hayo Aprili 7, 2025 wakati akihutubia Mkutano wa Hadhara Wilaya ya Masasi katika ziara ya kutoa elimu kuhusu 'No Reforms, No Election.'
Soma https://jamii.app/WananchiMkubalianeKuandamana
Video Credits: Mwanzo TV
#JamiiForums#Governance#KuelekeaUchaguzi2025
Lissu ameyasema hayo Aprili 7, 2025 wakati akihutubia Mkutano wa Hadhara Wilaya ya Masasi katika ziara ya kutoa elimu kuhusu 'No Reforms, No Election.'
Soma https://jamii.app/WananchiMkubalianeKuandamana
Video Credits: Mwanzo TV
#JamiiForums#Governance#KuelekeaUchaguzi2025
DAR: Mtangazaji wa Clouds FM, Samuel Nathaniel Sasali ameeleza hawezi kuweka Picha/Video Mtandao za matukio ya harusi bila ruhusa ya Wahusika, akidai aliwahi kuitwa kuwa shahidi katika kesi iliyotokana na yeye kuposti tukio la Harusi ambapo baadaye ilibainika Bwana Harusi alikuwa na mke mwingine
Ikumbukwe mara kadhaa Wadau wa JamiiForums.com wamekosoa matukio ya Watu kuchapisha picha na Video za Watu wengine Mitandaoni bila ridhaa yao, Washehereshaji (MC) nao walionekana kuwa moja ya kundi linaloongoza kwa kufanya vitendo hivyo
Februari 2025, Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dkt. Emmanuel Mkilia alisema “Ni muhimu kupata ridhaa ya mtu kabla ya kutumia taarifa zake binafsi, Washereheshaji wanaosambaza picha au video bila ridhaa wanakiuka Faragha ya Mtu.”
Soma https://jamii.app/SamSasali
#JamiiForums#DataProtection#UlinziWaTaarifaBinafsi#UlinziWaFaragha#DataPrivacy#DigitalRights#TaarifaZakoMaishaYako
Ikumbukwe mara kadhaa Wadau wa JamiiForums.com wamekosoa matukio ya Watu kuchapisha picha na Video za Watu wengine Mitandaoni bila ridhaa yao, Washehereshaji (MC) nao walionekana kuwa moja ya kundi linaloongoza kwa kufanya vitendo hivyo
Februari 2025, Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC), Dkt. Emmanuel Mkilia alisema “Ni muhimu kupata ridhaa ya mtu kabla ya kutumia taarifa zake binafsi, Washereheshaji wanaosambaza picha au video bila ridhaa wanakiuka Faragha ya Mtu.”
Soma https://jamii.app/SamSasali
#JamiiForums#DataProtection#UlinziWaTaarifaBinafsi#UlinziWaFaragha#DataPrivacy#DigitalRights#TaarifaZakoMaishaYako
Mmoja wa Wadau wa JamiiForums.com anasema alishawahi kupanda Daladala za Madereva wanaokimbizana mpaka ikabidi aombe kushuka na kilometer kama moja mbele, alikuta Gari limepata Ajali huku Dereva na Kondakta wakiwa wamekimbia eneo la tukio
Vipi Mdau, nawe umeshawahi kupanda Daladala za Madereva wanaokimbizana, Ulifanyaje/Ulichukua hatua gani?
Mjadala zaidi https://jamii.app/DaladalaKukimbizana
#JamiiForums#Accountability#Uwajibikaji#ServiceDelivery#HudumaZaKijamii
Vipi Mdau, nawe umeshawahi kupanda Daladala za Madereva wanaokimbizana, Ulifanyaje/Ulichukua hatua gani?
Mjadala zaidi https://jamii.app/DaladalaKukimbizana
#JamiiForums#Accountability#Uwajibikaji#ServiceDelivery#HudumaZaKijamii
Kutokujiamini, Kutojifunza kwa waliokuzidi na Kutokujiwekeza Kiujuzi na Kielimu ni baadhi ya mambo ambayo Mshiriki wa Stories of Change 2022 ameyataja kama makosa ambayo Vijana wengi huyafanya kwenye Miaka yao ya 20 na kusababisha Maisha yao kuwa Magumu baadaye
Soma zaidi https://jamii.app/MakosaUjanaSOC22
#JamiiForums#SOC2022#Maisha#LifeLessons
Soma zaidi https://jamii.app/MakosaUjanaSOC22
#JamiiForums#SOC2022#Maisha#LifeLessons
MBEYA: Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimependekeza na kuishauri Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufanya mabadiliko kwa Wasimamizi wa Uchaguzi kikisisitiza Wakurugenzi wasiwe Wasimamizi wa Uchaguzi wa Majimbo kwa kuwa hao ni Makada wa Vyama vingine vya Siasa
Akizungumza Aprili 7, 2025 na Waandishi wa Habari, Katibu Mwenezi wa CHAUMMA Taifa, Ipyana Njiku amesema katika Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama hicho cha Februari 19, 2025 kiliazimia kushiriki Uchaguzi katika nafasi zote na kutoa mwelekeo wa Nchi kwa Miaka mitano ijayo
Soma https://jamii.app/ChaummaINEC
#JamiiForums#UchaguziMkuu2025#Democracy
Akizungumza Aprili 7, 2025 na Waandishi wa Habari, Katibu Mwenezi wa CHAUMMA Taifa, Ipyana Njiku amesema katika Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama hicho cha Februari 19, 2025 kiliazimia kushiriki Uchaguzi katika nafasi zote na kutoa mwelekeo wa Nchi kwa Miaka mitano ijayo
Soma https://jamii.app/ChaummaINEC
#JamiiForums#UchaguziMkuu2025#Democracy
CHINA: Uongozi wa Mji wa Beijing umetoa maelezo kuwa Shule zote za Jiji hilo zinatakiwa kutoa angalau Saa Nane ndani ya Mwaka wa Masomo kwa Wanafunzi kufundishwa kuhusu Akili Mnemba (AI)
Wanafunzi wanatakiwa kufundishwa AI katika somo linalojitegemea au linaweza kuingia katika masomo yaliyopo ya Sayansi na Teknolojia ya Habari
Wanafunzi wenye umri wa Miaka 6 hadi 12 watatakiwa kupata elimu hiyo kisha itaendelea hadi kwa Ngazi za Juu huku kila ngazi ikiwa na levo yake ya kujifunza #AI
Soma https://jamii.app/AIInChina
#JamiiForums#JFDigital#Technology#DigitalWorld
Wanafunzi wanatakiwa kufundishwa AI katika somo linalojitegemea au linaweza kuingia katika masomo yaliyopo ya Sayansi na Teknolojia ya Habari
Wanafunzi wenye umri wa Miaka 6 hadi 12 watatakiwa kupata elimu hiyo kisha itaendelea hadi kwa Ngazi za Juu huku kila ngazi ikiwa na levo yake ya kujifunza #AI
Soma https://jamii.app/AIInChina
#JamiiForums#JFDigital#Technology#DigitalWorld
LINDI: Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA), #TunduLissu amesema suala la Kikokotoo ni changamoto kwa Askari na Watumishi Wastaafu
Amesema hayo alipozungumza na Wananchi katika Mkutano wa hadhara Nachingwea, Aprili 6, 2025
Soma https://jamii.app/LissuNachingwea
Video Credits: MK TV
#JamiiForums#Siasa#Kuelekea2025#UchaguziMkuu2025
Amesema hayo alipozungumza na Wananchi katika Mkutano wa hadhara Nachingwea, Aprili 6, 2025
Soma https://jamii.app/LissuNachingwea
Video Credits: MK TV
#JamiiForums#Siasa#Kuelekea2025#UchaguziMkuu2025
DODOMA: Mkutano wa 19 wa Bunge la 12 unatarajiwa kuanza leo Jumanne Aprili 8, 2025, mahususi kwa ajili ya kujadili na kuidhinisha Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Bunge imeeleza ratiba kamili ya shughuli za Mkutano huo itatangazwa leo Aprili 8 mara baada ya kikao cha Kamati ya Uongozi
Mdau unatarajia nini kutoka katika Mkutano huo?
Soma https://jamii.app/BungeAprili8
#JamiiForums#Governance
Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Bunge imeeleza ratiba kamili ya shughuli za Mkutano huo itatangazwa leo Aprili 8 mara baada ya kikao cha Kamati ya Uongozi
Mdau unatarajia nini kutoka katika Mkutano huo?
Soma https://jamii.app/BungeAprili8
#JamiiForums#Governance
Vitisho, Unyanyasaji, au Vurugu ni hatua ya kuzuia Haki ya kupata taarifa sahihi na za uhakika
Kuandika na kutoa maoni ni sehemu ya Uhuru wa Kujieleza na ni muhimu kwa ufanisi wa #Demokrasia.
#WorldPressFreedomDay#WPFD2025#PressFreedom#MediaAndAI#AIForMedia
Kuandika na kutoa maoni ni sehemu ya Uhuru wa Kujieleza na ni muhimu kwa ufanisi wa #Demokrasia.
#WorldPressFreedomDay#WPFD2025#PressFreedom#MediaAndAI#AIForMedia
DAR: Akizungumzia maandalizi ya usalama kuelekea mchezo wa Aprili 9, 2025 dhidi ya Al Masry ya Misri, Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Zubeda Sakuru amesema maandalizi yapo vizuri na “Wale ambao mechi haiwahusu wabaki nyumbani”
Amesema “Katika mchezo uliopita walisema maneno mengi kwamba kuna Wazee wafupi, Mbuzi lakini tuwatumie ujumbe kwamba kama mechi haikuhusu baki nyumbani na sisi tumejiandaa kuthibiti hilo kama klabu. Hatutaruhusu mtu yeyote ambaye sio Mwanasimba kutuharibia shughuli yetu.”
Simba itakuwa mwenyeji wa mchezo huo wa marudio wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa baada ya kupoteza kwa Magoli 2-0, Aprili 2, 2025.
Soma https://jamii.app/CEOSimba
#JFSports#JamiiForums#CAFCC
Amesema “Katika mchezo uliopita walisema maneno mengi kwamba kuna Wazee wafupi, Mbuzi lakini tuwatumie ujumbe kwamba kama mechi haikuhusu baki nyumbani na sisi tumejiandaa kuthibiti hilo kama klabu. Hatutaruhusu mtu yeyote ambaye sio Mwanasimba kutuharibia shughuli yetu.”
Simba itakuwa mwenyeji wa mchezo huo wa marudio wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwenye Uwanja wa Mkapa baada ya kupoteza kwa Magoli 2-0, Aprili 2, 2025.
Soma https://jamii.app/CEOSimba
#JFSports#JamiiForums#CAFCC
Eeeh Mdau, Siri ya Furaha na Amani kwenye Maisha yako ni nini?
Mjadala zaidi https://jamii.app/WatuWasemavyo
#JamiiForums#JFChitChats#Lifestyle#LifeLessons
Mjadala zaidi https://jamii.app/WatuWasemavyo
#JamiiForums#JFChitChats#Lifestyle#LifeLessons
MWANZA: Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi wameshauriwa kujifunza kuhusu Uwekezaji mapema ili kuhakikisha baada ya kustaafu wanaendelea kuishi Maisha mazuri, kama walivyokuwa kazini
Ushauri huo umetolewa na Afisa Masoko Mwandamizi, Kampuni ya Uwekezaji ya UTT – AMIS, Rahim Mwanga, ambapo ameeleza “Tukijijengea utamaduni wa kuwekeza mapema kutatusaidia Wafanyakazi kuepuka changamoto za Kifedha baada ya kustaafu na kuwa na Maisha ya uhakika.”
Amesema hayo wakati wa mafunzo ya Elimu ya Fedha yaliyotolewa kwa Watumishi wa Halmashauri hiyo na Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha na Taasisi zake
Soma https://jamii.app/KustaafuMaandalizi
#JamiiForums
Ushauri huo umetolewa na Afisa Masoko Mwandamizi, Kampuni ya Uwekezaji ya UTT – AMIS, Rahim Mwanga, ambapo ameeleza “Tukijijengea utamaduni wa kuwekeza mapema kutatusaidia Wafanyakazi kuepuka changamoto za Kifedha baada ya kustaafu na kuwa na Maisha ya uhakika.”
Amesema hayo wakati wa mafunzo ya Elimu ya Fedha yaliyotolewa kwa Watumishi wa Halmashauri hiyo na Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha na Taasisi zake
Soma https://jamii.app/KustaafuMaandalizi
#JamiiForums